Paka wa Sigei
Brigid Simiyu
Jesse Breytenbach
Kiswahili


Sigei anawapenda paka.
Kuna paka wengi nyumbani kwake.
Kuna paka wengi nyumbani kwake.
Sigei ana paka mmoja mweusi.
Paka huyu anakula nyama nyingi.
Paka huyu anakula nyama nyingi.
Sigei vilevile, ana paka mmoja mnono.
Paka huyu hula kila kitu.
Paka huyu hula kila kitu.
Paka wa tatu, alipanda mtini na akakwama huko.
Sigei alimfuata paka akakwama naye mtini.
Mamake Selemeng alilazimika kumsaidia kushuka chini.
Mamake Selemeng alilazimika kumsaidia kushuka chini.
Sigei pia ana paka wawili wavivu.
Wanalala nje ya nyumba wakiota jua mchana kutwa.
Wanalala nje ya nyumba wakiota jua mchana kutwa.
Sigei vilevile, ana paka watatu wanao shughuli nyingi.
Usiku wanawashika panya jikoni.
Usiku wanawashika panya jikoni.
Sigei ana mbwa anayeitwa Lirafi.
Lirafi ana huzuni kwa sababu hana rafiki.
Lirafi ana huzuni kwa sababu hana rafiki.
Paka wa Sigei hawampendi Lirafi.
Wanapomfukuza, Lirafi anatoroka nyumbani.
Wanapomfukuza, Lirafi anatoroka nyumbani.
Sigei anapompata Lirafi, anamrudisha nyumbani.
Paka hawfurahi Lirafi anaporejeshwa.
Hawataki kumwona tena.
Paka hawfurahi Lirafi anaporejeshwa.
Hawataki kumwona tena.
Sigei ana paka wangapi?
Sigei ana mbwa wangapi?
Lirafi yuko wapi sasa?
Lirafi yuko wapi sasa?
Nyumbani kwenu kuna paka wangapi?
Je, mna mbwa nyumbani kwenu?
Je, mna mbwa nyumbani kwenu?
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way:
Paka wa Sigei
Author - Khothatso Ranoosi and Marion Drew
Translation - Brigid Simiyu
Illustration - Jesse Breytenbach
Language - Kiswahili
Level - First sentences
Translation - Brigid Simiyu
Illustration - Jesse Breytenbach
Language - Kiswahili
Level - First sentences
© African Storybook Initiative 2015
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
Original source http://paleng.weebly.com/
Creative Commons: Attribution 4.0
Source www.africanstorybook.org
Original source http://paleng.weebly.com/

