Cheko cha furaha cha Samweli
Vianne Venter
Genevieve Terblanche

Mvua ilikuwa ikinyesha tangu siku fulani, na watu wote walikuwa hawana furaha. Watu wote isipokuwa tu Samweli, ambaye aliyekuwa akiamka kila Siku akiwa na tabasamu mdomoni.
"Jambo! Samweli! Hiyo furaha no ya ajabu", alisema Taté , "Ni yangu?
Samweli akajipigapiga kwenye kinywa. "Lakini ni furaha yangu Taté" alisemeya mu machafu.

1

Mamaye akatabasamu. "Samweli, tabasamu ni kitu unaweza pana bila kuipoteza. Angaliya!"
Akamunyangula kumupandisha mpaka kwenye kiyoo. Tabasamu yake ilikuwa pale pale, tena kabambi sawa mbele.

2

Ikafika saa ya kutoka. Mama akafunga koti ya Samweli mupaka yulu, njo bale bakaenda kwenye nyumba ya kuwekeya vitabu huku nvula ikinyesha.
Chini ya barabara ndogo, rafiki wa kwanza wa Samweli aitwaye Zawadi alikuwa amesimama nyuma ya dirisha ya nyumba yake; akiangaliya nvula bila furaha kabisa.
Samweli akasikiya ka cheko kakipanda, kakimupanda ndani. Mbele ajifahamu vizuri, ka tabasamu kake kakapasuka, na kakavuka barabara mupaka kwe Zawadi iko.

3

Zawadi alikuwa amebana cheko sana, ilikuwa ya thamani njo maana hakupenda kuiachiliya iende. Wakati Samweli ankielekeya kwenye nyumba ya kuwekeya bitabu, ka kengele kaliliya kwenye mlango wa Zawadi. Ilikuwa ni alama kwamba baruwa toka kwa mtani wake mupendwa imefika.
Zawadi alipatwa na furaha sana mpaka ka tabasamu ka furaka kaliruka, na furaha hiyo iliiambukiya uso wake mwenye kuleta baruwa.
"Aksante sana bwana mugawanyaji baruwa!" alisema.

4

Ile cheko ya Zawadi ndiyo kitu cha muhimu alichokiona huyu mugawanya baruwa tangu asubuhi. Ikamupa kifugutu, na vile alikuwa akizunguka katika nvuwa.
Akafika kwa nyumba iliyokuwa nnene, nyuma ya mlango was chuma yenye matundu, kulikuwa imbwa ikijizunguka ako, na ikifoka tena,tena na tena. Ilikuwa n'a hali ya ukali wa kinyama nyama mpaka ikamchekesha mugawaji baruwa. Tabasamu ikatobowa kwenye mlango huo ikiwa no ya furaha

5

Imbwa ikaacha kufoka, ikageuza lisikiyo na kukunguta mukiya. Kisha ikageuka, ikarudi nyumbani ikikimbiya pamoja na ka cheko ka moto moto. Mzee moya mwenye mugongo yakukunja akafunguwa mlango
"Oh!, Apana! hauwezi kurudiya, omelobana wewote!" aliiambiya imbwa. Lakini pale pale ka cheko kakaangaza uso wa muzee yule.

6

Mzee akapima kusimama wima, "Saawa", alisema, "bineza kuwa aye kama nvula inanyesha? Tuende tujitembeze, rafiki yangu!" Njo bale bakaenda, bako na ruka ruka katika maji kwenye njia. Kulikuwa Mama Makabela, mulinda usalama. Alikuwa anafanana mwenye baridi, mwenye kulobana na wakutiya huruma. Mzee huyu alijuwa ni nini chakufanya."Jambo Mama Makabela!" Akamuambiya na akamuka tabasamu kubwa zaidi. Lakini Mama Makabela hakumurudishiya tabasamu lake hili.

7

Kusimama siku nyingi katika nvuwa ineza kufanya uwe wakusitika wakusirika wakusirika. Lakini tabasamu ni kitu cha ajabu na, siku hiyo, tabasamu ilikuwa kubwa, yakuanzaza uso, mpaka hakuna gisi ya kuificha. Haikuwezekana papo hapo ila pole pole ikafikiya kuongezeka mpaka... Ona sasa...!

8

Tabasamu kubwa na ya ajabu ikauangaza uso wa Mama Makabela. Kengele ya masomo ikaliya, na watoto walikuwa wakikimbiya ili wavuke barabara, Mama Makabela akatosha kionyesho yake, na akatabasamu, akatabasamu tena kwa kila mtoto.

9

Watoto walikuwa wakitabasamu kwa mama zao na baba zao, kwa taté wao, kwa wa dada na wa kaka. Walikuwa wakitabasamu mbele ya ma dreva wa bus, na mbele ya mwenye duka, kwa bibi Nakafu ambaye naye sasa akatabasamu kwa mumeo, naye akatabasamu kwa kiongozi wa masomo. Tabasamu ilikuwa ikiruka na ku zunguka kwa kujiviringita moja kwa mwengine. Ikawaka, ikaangaza mupaka kilamtu katabasamu na kuchekacheka, wakacheka sana mu nvuwa.

10

Katika bibliothèque, nyumba ya kuhifazi vitabu, yote ilikuwa bila fujo, na iliyokuwa ikisikika ni ile fujo ya nvuwa tu. "Ni wakati wa kulala, alisema mke wa Samweli kisha kufunga kitabu yake.
"Oh, mama!" Alisema Samweli ambaye alikuwa tayari amemaliza tabasamu zake.

11

Ila walipokutanana barabarani...
RAHA GANI!
Muji wote ulikuwa pale!
Kila mtu na walikuwa wakitabasamu wote!
Tabasamu ilikuwa ikirukaruka, ikaangaza moyo wa Samweli, wakamupa kifugutu na kumu tekenya tekenya, wakapanda kwenye mwili wake tena na tena, tangu makucha ya miguu...mpaka juu ya kichwa.

12

Alifurahi kupita mupaka mpaka tabasamu ikapasuka, uso uangare na aangarishe byote au bote sana. Hapo hapo kitu moya ikabadilika. Nyuma ya midi ambayo ilikuwa ya giza, ya bila furaha na ya nvula haikukuwa tena ya giza. Je, ni... NDIYO! Mawingu yakaenda na jua lenye joto likaangaza juu yao pamoja na tabasamu kubwa zaidi, yenye kuangaza zaidi, na yenye kupasuka kushinda tabasamu zingine zote.

13
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way:
Cheko cha furaha cha Samweli
Author - Vianne Venter
Translation - Amani Bisimwa, Contes Libres RDC, Wivine Chofi
Illustration - Genevieve Terblanche
Language - Kiswahili
Level - Read aloud