Katana Na kahindi
Christine
Catherine Groenewald

Katika Kijiji cha tupendane kulikuwa Na vijana wawili Na walipendana kama Chanda Na pete kwasababu walikuwa majirani.

1

Vijana walikuwa ni Katana Na Kahindi nawalipenda Sana kucheza Mpira wakandanda na walipenda kufanya kazi haraka ili wapate muda wakucheza.

2

Siku moja Katana alitumwa na mama yake Kuenda dukani kununua Nyanya, Karoti,vitunguu Na vinginevyo.Katana alichukua tufe la Mpira ambalo alienda na kucheza njiani

3

Alivyokuwa akikimbia njiani huku akicheza kwa bahati mbaya pesa zikapotea.katana alirudi nyuma Huku akitafuta pesa mbele yake alikutana na rafiki mmoja mjanja Sana na Katana alishuku kuwa ameziokota hizo pesa.

4

Katana alichukua hatua ya kumkimbilia rafiki mjanja .Kwa Bahati nzuri Yule rafiki yake alikuwa ameziokota na akamregeshea Katana .

5

Katana alimshukuru rafiki mjanja Sana . Katana alikimbi dukani kununua vitu alivyo kuwa ametumwa na mama yake.

6

Na alivyorudi nyumbani mama yake alimwongelea Na kumwambia wasicheze Mpira tena njiani. Kila jumamosi atampa nafasi ya kucheza na marafiki sake.

7
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way:
Katana Na kahindi
Author - Christine,Jack line, patience Fatma Mapenzi Kadzo
Illustration - Catherine Groenewald, Rob Owen, Wiehan de Jager
Language - Kiswahili
Level - First paragraphs