Hadithi ya maisha yangu ya ukubwani.
Esther Hendry

My name is Esther.

1

Mimi ni mwanafunzi. Ninapenda kusoma na kuandika ilisiku ya mtihani ni faulu mitihani.

2

Watu wenye umuhimu kwenye maisha yangu ni walimu wangu.

3

Sehemu yenye umuhimu kwenye maisha yangu ni shuleni kwasababu Mimi ninapenda kusoma.

4

Ninamkumbuka sana rafiki yangu Victoria. Tulihama Singida na kuja Monduli . Baada ya kuhama nilikosa nafasi ya kumuona.

5

Ninawapenda wazazi wangu.

6

I love my teachers.

7
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way:
Hadithi ya maisha yangu ya ukubwani.
Author - Esther Hendry
Illustration - , Esther Hendry
Language - Kiswahili
Level - First paragraphs