Hadithi ya Maisha Yangu ya Utotoni
Esther Hendry
Esther Hendry

Ninaitwa Esther.Nilizaliwa Singida.

1

Watu muhimu kwenye maisha yangu ni mama na bibi yangu.

2

Kitu kilichonifurahisha ni mama yangu kunifundisha kusoma wakati bado niko mdogo.

3

Mama yangu aliponifundisha wakati niko mtoto alliniwezesha kufaulu masomo yangu.

4

Kitu nilichopoenda katika maisha yangu wakati niko mdogo ni wazazi wangu na mlezi wangu kunifundisha na kunipeleka shule mapema.

5

Shule niliyosoma wakati nipo mdogo iliitwa St. Karolass.

6

ST. Karolass ilikuwa shule ya masista.Masista pia ndio walitufundisha.shule ya ST. Karolass ilikuwa nzuri sana na masista walitupenda sana.

7

Kitu kinachonisikitisha ni watu wanakunywa pombe na wengine wanavuta sigara. Ni wachache sana ambao hawanywi pombe na kuvuta sigara.

8
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way:
Hadithi ya Maisha Yangu ya Utotoni
Author - Esther Hendry, Esther Hendry
Illustration - Esther Hendry
Language - Kiswahili
Level - First paragraphs