Hadithi ya maisha yangu ya utotoni.
Josephina John
Josephina John

Kitu ninachokumbuka katika maisha yangu ya utotoni ni kuwa na marafiki wenye upendo.

1

Watu muhimu katika maisha yangu ni wazazi wangu na rafiki zangu.

2

Juhudi nilizofanya ili kufaulu masomo yangu tangu nilipoanza shule ni kusoma kwa bidii.

3

Kitu nilichokipenda katika maisha yangu ya utotoni ambacho ningependa kitokee kwenye maisha yangu ya ukubwani ni kuishi na wazazi wangu wote wawili ambao ni baba na mama.

4

Na kitu kingine ambacho ningependa kitokee kwenye maisha yangu ya ukubwani ni kuwa mchezaji mzuri wa mpira wa miguu.

5
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way:
Hadithi ya maisha yangu ya utotoni.
Author - Josephina John
Illustration - Josephina John
Language - Kiswahili
Level - First paragraphs