Ndoto zangu
Kelvin Yona
Wanafunzi wa Maktaba ya Jamii Cheche

Ndoto yangu nikuchora.

1

Mimi nina ndoto ya kuwa mchoraji.

2

Nataka kuelimisha jamii kuhusu ndoto zao wasikate tamaa, waelimishwe.

3

Pia mimi ninapenda kuchora kwenye ukuta wa mashuleni na kompasheni mbalimbali kwa ajili ya kuwafurahisha watoto na hata watu wakubwa. Natamani baadaye mungu anisaidie niwe mchoraji mkubwa. Ninataka kuwa mchoraji mkubwa ili niwe nawasaidia.

4

Nawasaidia wanajamii kujua umuhimu wa ndoto zao.
Na nikiwa mkubwa nitawasaidi wazazi wangu kuwajengea nyumba kubwa na kuwapatia fedha nyingi kutokana na kipaji changu na kufurahia pamoja Mimi na familia yangu kwa ujumla.

5

Mimi Pia nitajijengea nyumba kubwa yenye vitu vingi vya thamani Sana.
Mimi na familia yangu tutafurahia siku zote za maisha yangu yote.na pia nitasafiri nchi mbalimbali mfano, Kenya, Uganda, na kadhalka ili kuwaonyesha kuwa Mimi Nina kipaji

6

Cha kuchora.

7

Nitapenda kufuga kuku, mbwa, Ng'ombe, mbuzi, kondoo, nguruwe.

8
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way:
Ndoto zangu
Author - Kelvin Yona
Illustration - Wanafunzi wa Maktaba ya Jamii Cheche
Language - Kiswahili
Level - First paragraphs