HADITHI YA FISI NA SUNGURA
Wentworth Maurice
Wentworth Maurice

Hapo zamani za kale walitokea ma rafiki wawili ambao ni sungura na fisi.

1

Siku moja marafiki hao walienda kutafuta chakula,kwa bahati mbaya walikosa.

2

Sungura na ujanja wake alimshauri mzee fisi kwamba waende wakawale mama zao.

3

Sungura yeye hakufanya hivyo bali alienda kumficha mamake.

4

Baada ya fisi kumchinja na Kumla mamake alirudi kumwambia sungura.

5

Sungura alimcheka ndio maana mpaka leo sungura na fisi ni maadui.

6
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way:
HADITHI YA FISI NA SUNGURA
Author - Wentworth Maurice
Illustration - Wentworth Maurice
Language - Kiswahili
Level - First paragraphs