

Siku moja baada ya ngombe wangu kununuliwa mama yangu aliniambia nenda ukalishe ngombe wako.Naenda sasa hivi mama.Baba alipoingia kutoka kazini alimkuta mama na mgeni mmoja anayeitwa Bwana Fadhili.Mgeni alimuuliza baba habari yautokako
Baba akasema Salama.Mama akasema huyu nimgeni anaitwa Bwana Fadhili amekuja Hapa kununuwa ngombe yule pale.Mama akaniita Kwa haraka Sana.Mama alinielezea kuwa ngombe wako ananunuliwa Sasa.Nilikasirika sana kusikia hivyo.Baba huyo
Naye hakupenda kwa sababu yule,aliyetaka kununuwa ngombe yule alikuwa nakiasi cha pesa cha elfu tano tu.Baba alikataa na yule bwana akaondoka taratibu nakwenda zake Mama ndiye aliye kasirika Sana,alitaka ngombe yule aliye wangu auzwe.Baba
alisema ngombe anatupa maziwa mengi sana kilasiku na kila asubuhi hunyui maziwa wewe mpaka unataka kuuza ngombe?".Mimi sikuwa nalakusema maana baba na mama walikasirikiana sana.Asubuhi niliamka nanjaa mno nilimkama ngombe wangu maziwa mengi
nanikayapika chai nyingi sana,kila mmoja alifurahia chai hiyo.Niliwaomba wazazi wangu waombane msamaha,baba alikubali kumsamehe mama.Mama naye alikubali kumsamehe baba.Yule bwana Fadhili akaja tena naakasema nitawaongezea pesa ili ninunuwe
ngombe yule,baba,mama,na Mimi tulikubali .Baba aliulizakiasi cha pesa pesa ngapi?Kiasi chapesa elfu ishirini tu baba alifurahi sana.Na bwana Fadhili akaondoka na yule ngombe.

