Soko la kongowea
Truphena Uchi
Rob Owen

Soko la kongowea ni soko kubwa kijiji Mombasa soko Hilo Lina bidaa nyingi sana tofauti tofauti watu huuza

1

Nguo , Mboga, simu, viatu, vitabu, mikoba Na halikadhalika.mahali huko watu husukumana sukumana ili wapate

2

Nafasi ya kupita .hujaawatu ndindi tofauti tofauti Yani waswahili, wagiriama, wachonyi na Kabila nyinginezo.watu hurauka asubuhi ilikuanza kazi zao

3

Pahali hapo ukichelewa chelewa utakuta mwana siwako Na ukizubazubaa basi waweza Kuta umetolewa meno na wabebe mizigo. Wao huwa wanaharaka sababu mizigo yao hukuwa mizigo sana.

4

Watu Hao pia hubebe Baraka ili wabebe mizigo mingi wapate riziki yao us kila siku

5

Soko hilo huwa Na pahali pa kurusha Takataka. Pia kuna nyumba nyingi na vibanda vidogo vidogo Na vikubwa.Kuna nyumba za gorofa na za kawaidha Pia kuna askari ambao hulinda usalama yani mahali hapo kandokando yake kumeegeshwa magari

6

Makubwa Na madogo Kuna pikipiki nyingi Sana za kila tofauti tofauti

7

Mimi na baba yangu hupenda kuenda Simoni kila Jumamosi kununua chakula cha wiki na kuona shangazi yangu Aliyev Na kibanda cha mboga Simoni.

8
You are free to download, copy, translate or adapt this story and use the illustrations as long as you attribute in the following way:
Soko la kongowea
Author - Truphena Uchi
Illustration - Rob Owen, Abraham Muzee, Catherine Groenewald, Jesse Breytenbach, Kenneth Boyowa Okitikpi
Language - Kiswahili
Level - First paragraphs